Sanlam Life Insurance (T) Ltd, kampuni inayoongoza nchini Tanzania katika uto aji wa huduma za bima za maisha (Life Insurance) inatangaza nafasi (70) za kazi za Afisa Mauzo (Financial Advisors) katika kitengo cha mauzo kwenye ofisi zake za: Mwanza, Arusha, Mbeya, Zanzibar na Dar-es-Salaam. Wakazi wa mikoa husika na wale kutoka nje ya mikoa hiyo wanaopenda kufanya kazi kwenye kanda ambazo tuna matawi yetu wanakaribishwa kutuma maombi yao.
Kama una sifa hizo hapo juu tuma maombi yako wanayotaja tawi mojawapo kati ya yaliyotajwa hapo juu ambalo unapenda kufanya au lete kwa mkono kwa:
Mkuu wa Utumishi na Utawala,
Sanlam Life Insurance (T) Ltd, P.o box 22229 Mtaa wa Ohio, Jengo la Amani Place Ghorofa ya 9, Dar-es-Salaam.
Baruapepe: recruitment@sanlamlifeinsurance.co.tz
Maombi yatufikie kabla ya tarehe: 26/11/2021
ISHI KWA KUJIAMINI!