Fundi Mchundo Daraja la II - Fundi Magari na Mashine(Mechanics) Mwananchi Engineering and Contracting Company LTD Dar es Salaam
Job Type: Full-Time
Closing Date: 30th October 2023
Location: Dar es Salaam, Tanzania

Mwananchi Engineering and Contraction Company LTD(MECCO) inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi za kazi 6 kama zilivyoainishwa hapa chini.

FUNDI MCHUNDO DARAJA II(FUNDI MAGARI NA MASHINE (MECHANICS)-NAFASI 6

MAJUKUMU YA FUNDI MCHUNDO

        i.            Kufanya matengenezo kinga (preventive maintenance) ya magari na mashine na mitambo

      ii.            Kuchunguza na kutambua matatizo ya magari, mashine na mitambo na kufanya matengenezo

    iii.            Kufanya majaribio ya ubora wa magari, mashine na mitambo baada ya matengenezo

     iv.            Kuhakikisha utunzaji wa zana zinazotumika katika karakana za magari na mitambo

       v.            Kushirikian na wafanyakazi wengine katika kutimiza malengo ya shirika

     vi.            Kufanya kazi nyingine kama atakavyoelekezwa na kiongozi wake

SIFA ZA MWOMBAJI

Mwombaji mwenye uzoefu wa kazi katika kampuni za ujenzi wa barabara

MASHARTI YA JUMLA

        i.            Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi mika 45

      ii.            Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa

    iii.            Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza(Detailed CV) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini(referees) watatu wa kuaminika

     iv.            Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakal za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sitakwa wale wliofikia kiwango hicho na vyeti by akuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi

       v.            Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni

     vi.            Barua ya maombi ya kazi iliyosainiwa ielekezwe kwa afifsa rasilimali watu na inaweza kuandikwa kwa lugha ya Kiingeraza au Kiswahili

   vii.            Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria

 viii.            Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 15 januari 2018

     ix.            Maombi yatakoywasilishwa nje ya utaratibu ulioaninishwa katika tanganzo hili HAYATAFIKIRIWA

       x.            Maombi yote yatumwe kupitia anuani ifuatayo

Human Resource Manager

Mwananchi Engineering and Contracting Company

P.O Box 720

Mandela Road, Mabibo External

Dar es Salaam,  Email: hrmeccoltd@gmail.com