Financial Advisors Sanlam Life Insurance(T) Ltd Tanzania
Full-Time
24th April 2021

 

NAFASI ZA KAZI-AFISA MAUZO (FINANCIAL ADVISORS) 

Sanlam Life Insurance(T) Ltd, kampuni inayoongoza nchini Tanzania katika utoaji wa huduma za blma za malsha (Life Insurance) inatangaza nafasi (50) za kazi za Afisa Mauzo (Financial Advisors) katika kitengo cha mauzo kwenye matawi yake ya Mwanza, Arusha, Mbeya, Zanzibar na Dar-es-Salaam. Wakazi wa mikoa husika na wale kutoka nje ya mikoa hiyo wanaopenda kufanya kazi kwenye kanda ambazo tuna matawi yetu wanakaribishwa kutuma maombl yao

Sifa za mwombaji:

  • Cheti cha kldato cha nne au cha sita 
  • Cheti au stashahada au shadada ya bima,utawala wa blashara, masoko, mauzo au mafunzo mbadala
  • Cheti cha bima (COP) kinapendelewa
  • Awe na ari ya kupata kipato kikubwa kwa kufanya mauzo mengi
  • Uzoefu wa kuuza huduma za blma au huduma za kifedha nyinginezo unahitajika.
  • Utayari wa kutoa huduma kwa wateja popote pale walipo utazingatiwa
  • Awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiswahili na Kiingeza fasaha
  • Awe na uwezo kufanya hesabu za kujumlisha kwa usahihi 
  • Awe na uwezo wa kushawishi na kujenga mahusiano 
  • Awe tayari kufanya kazi kwenye tawi lililopo mbali na makazi yake ikibidi

Kama una sifa hizo hapo juu tuma maombi yako au lete kwa mkono kwa

Meneja, Utumishi na Utawala,

Sanlam Life Insurance (T) Ltd,

P.O box 22229 Mtaa wa Ohio, Jengo la Amani Place Ghorofa ya 9,

Dar-es-Salaam.

Baruapepe: recruitment@sanlamlifeinsurance.co.tz 

au info@sanlamlifeinsurance.co.tz 

Au piga simu namba (022-2427151-4) kwa maelezo zaidi.

Maombi yatumwe kabla ya tarehe 24/04/2021 

Application

Sorry, this job no longer accepts new applications.

Check these similar jobs Senior Financial Analyst