Madereva
Simba Logisitics Limited
Tanzania
Full-Time
28th May 2020
Kampuni ya usafirishaji ya Simba Logisitics Limited inawatangazia nafasi za kazi kwa madereva wa Malori.
NAFASI: 75
Sifa za Mwombaji
- Awe amehitimu na kutunikiwa cheti halali cha kidato cha nne au cha sita. (Mwenye vigezo Zaidi atapewa kipaumbele)
- Leseni halali ya Daraja E ambayo haijaisha muda wake.
- Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chou cha mafunzo ya ufundi stadi (VETA) au chou Kingine kinachotambuliwa na Serikali
- Awe amehudhuria mafunzo ya uendeshaji malori ya mizigo (HDV/HGB Professional Driving) Kutoka chou cha NIT
- Waombaji wenye cheti cha majaribio ya ufundi Daraja la II watafikiriwa kwanza
- Awe na uzoefu wa kuendesha malori ya aina zote (Pulling, semi trella, intersemi, interlink nk)
- Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani nan amba za simu za kuaminika Pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
- Awe na hati halali ya kitabu ya kusafiria (Passport mpya ya Kielektroniki)
- Cheti cha kutokua na makosa yoyote ya jinai toka polisi (Police Clearance Certificate)
- Kadi ya chanjo ya joma (Vaccination Card)
- Awe nan amba ya simu yenye mawasiliano ya whatsapp muda wote na yenye uwezo wa kupiga picha nzuri
- Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania na wenye umri kati ya miaka 30-45
- Aambatanishe cheti cha utumishi kutoka kwa mwajiri wa mwisho
Jinsi ya kutuma
- Tuma Barua ya maombi yalioandikwa kwa mkono na iambatanishwe na picha ya mwombaji
- Maombi yaambatane na barua ya utambulisho wa serikali za mtaa
- Barua ya maombi iambatane nan akala ya vyeti vya taaluma na viambata tajwa hapo juu
- Nakala ya cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha uraia
- Maombi yote yawasilishwe kwa PDF kupitia Email julia@simba-logistics.com nakala kwa Michael@simba-logistics.com au yaletwe kwa mkono katika Ofisi zetu zilizopo Tabata Matumbi, Plot 1000, Nelson Mandela Road, Dar es Salaam.
- Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria
- Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 28 Mwezi Mei 2020 saa 10 jioni.
Kwa maelezo Zaidi wasiliana na amba: 0714-592743